- BREAKING NEWS: TANZANIA YAKANUSHA KUWASHIKILIA KINA DR SLAA NA MWAMBUKUZI
- BREAKING NEWS: RAIS WA MAPINDUZI WA NIGER AMTEUA WAZIRI MKUU MPYA
- BREAKING NEWS: SHILINGI YA KENYA YAPOROMOKA VIBAYA DHIDI YA DOLA
- BREAKING SEREKALI YA RWANDA YAKASIRISHWA NA UBELGIJI KUTOMUIDHINISHA BALOZI WAKE
- BREAKING NEWS: RAIS KIM AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA URUSI
NEWS: MAHAKAMA YAFUTA HUKUMU YA COFFI OLOMIDE UFARANSA
Mahakama ya rufani nchini Ufaransa imetengua hukumu ya kesi iliyokuwa ikimkabili staa wa muziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Antoine Agbepa Mumba, maarufu kama Koffi Olomidé ambaye alitiwa

NEWS: MAHAKAMA YAFUTA HUKUMU YA COFFI OLOMIDE UFARANSA
Mahakama ya rufani nchini Ufaransa imetengua hukumu ya kesi iliyokuwa ikimkabili staa wa muziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Antoine Agbepa Mumba, maarufu kama Koffi Olomidé ambaye alitiwa
NEWS: DIAMOND ASHINDA TUZO YA AFRIMMA 2021
Dar es salaam. Staa wa Muziki wa label ya WCB kutoka nchini Tanzania Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ametwaa tuzo ya Mwanamuziki bora wa mwaka wa kiume kwa Afrika Mashariki katika tuzo za

NEWS: DIAMOND ASHINDA TUZO YA AFRIMMA 2021
Dar es salaam. Staa wa Muziki wa label ya WCB kutoka nchini Tanzania Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ametwaa tuzo ya Mwanamuziki bora wa mwaka wa kiume kwa Afrika Mashariki katika tuzo za
NEWS: NYUMBA YA POLEPOLE YAVUNJWA MCHANA KWEUPE
Dodoma. Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limedhibitisha taarifa za kuvunjwa na kuibwa vitu vya ndani vya mbunge wa kuteuliwa Humphrey Polepole nyumbani kwake kata ya Ipaga Jijini Dodoma.Kwa mujibu wa Ka

NEWS: NYUMBA YA POLEPOLE YAVUNJWA MCHANA KWEUPE
Dodoma. Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limedhibitisha taarifa za kuvunjwa na kuibwa vitu vya ndani vya mbunge wa kuteuliwa Humphrey Polepole nyumbani kwake kata ya Ipaga Jijini Dodoma.Kwa mujibu wa Ka
NEWS: MPANGO ATAKA USAWA KATIKA NYANJA ZOTE BARANI AFRICA
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema ili kufikia ajenda ya Afrika Tuitakayo, Bara la Afrika linahitaji usawa katika uongozi, uwakilishi sawa katika masuala ya siasa pamoja na mazingira ya usawa k

NEWS: MPANGO ATAKA USAWA KATIKA NYANJA ZOTE BARANI AFRICA
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema ili kufikia ajenda ya Afrika Tuitakayo, Bara la Afrika linahitaji usawa katika uongozi, uwakilishi sawa katika masuala ya siasa pamoja na mazingira ya usawa k
NEWS: MKUU WA GEREZA AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA KWA KUMUIBIA MFUNGWA
Mahakama ya Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela aliyekuwa mkurugenzi wa gereza kuu la Kigali kwa kosa la kuiba pesa za mfungwa wa Uingereza.Innocent Kayumba, ambaye alihukumiwa Ijumaa jion

NEWS: MKUU WA GEREZA AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA KWA KUMUIBIA MFUNGWA
Mahakama ya Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela aliyekuwa mkurugenzi wa gereza kuu la Kigali kwa kosa la kuiba pesa za mfungwa wa Uingereza.Innocent Kayumba, ambaye alihukumiwa Ijumaa jion
NEWS: KIONGOZI WA MYANMAR AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA
Kiongozi wa Myanmar aliyeondolewa Madarakani na Jeshi la Nchi hiyo Aung San Suu Kyi amehukumiwa kifungo cha miaka nne jela.Bi Suu Kyi alipatikana na hatia kutokana na mashitaka ya uchochezi na kuvunja

NEWS: KIONGOZI WA MYANMAR AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA
Kiongozi wa Myanmar aliyeondolewa Madarakani na Jeshi la Nchi hiyo Aung San Suu Kyi amehukumiwa kifungo cha miaka nne jela.Bi Suu Kyi alipatikana na hatia kutokana na mashitaka ya uchochezi na kuvunja
NEWS: UKATILI BADO KIZUNGUMKUTI SINGIDA.
SINGIDA: Kati ya kesi saba zilizoripotiwa mwaka 2020 Wilaya ya Singida Mjini, kesi tatu zikikuwa za ubakaji wakati nne ni ndoa za utotoni huku Afisa ustawi wa jamii Raphael Tilihongelwa akisema takwim

NEWS: UKATILI BADO KIZUNGUMKUTI SINGIDA.
SINGIDA: Kati ya kesi saba zilizoripotiwa mwaka 2020 Wilaya ya Singida Mjini, kesi tatu zikikuwa za ubakaji wakati nne ni ndoa za utotoni huku Afisa ustawi wa jamii Raphael Tilihongelwa akisema takwim
NEWS: WATU 19 WANUSURIKA KIFO MKOANI SONGWE
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 19 kujeruhiwa katika ajali ya magari iliyohusisha malori 3 na basi la abiria la kampuni ya Classic lenye namba za usajili 68842 AK 05. Ajali hoyo imetokea Mbozi Mk

NEWS: WATU 19 WANUSURIKA KIFO MKOANI SONGWE
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 19 kujeruhiwa katika ajali ya magari iliyohusisha malori 3 na basi la abiria la kampuni ya Classic lenye namba za usajili 68842 AK 05. Ajali hoyo imetokea Mbozi Mk
NEWS: RAIS SAMIA AMPA KADI YA NJANO WAZIRI MBARAWA
Dar es salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempa onyo ya tahadhari kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa kufuatia mrundikano wa madudu unaoendelea katika taasisi nyingi zil

NEWS: RAIS SAMIA AMPA KADI YA NJANO WAZIRI MBARAWA
Dar es salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempa onyo ya tahadhari kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa kufuatia mrundikano wa madudu unaoendelea katika taasisi nyingi zil
NEWS: UKATILI TISHIO CHAMWINO,UKEKETAJI UKITAJWA.
DODOMA: Takwimu za mwaka 2020 zinaonyesha watu 439 walifanyiwa ukatili katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma na Kijiji cha Nzali Kata ya Chilonwa wako 16 huku 89 waliochini ya miaka 19 wamekeketwa k

NEWS: UKATILI TISHIO CHAMWINO,UKEKETAJI UKITAJWA.
DODOMA: Takwimu za mwaka 2020 zinaonyesha watu 439 walifanyiwa ukatili katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma na Kijiji cha Nzali Kata ya Chilonwa wako 16 huku 89 waliochini ya miaka 19 wamekeketwa k