- BREAKING NEWS: TANZANIA YAKANUSHA KUWASHIKILIA KINA DR SLAA NA MWAMBUKUZI
- BREAKING NEWS: RAIS WA MAPINDUZI WA NIGER AMTEUA WAZIRI MKUU MPYA
- BREAKING NEWS: SHILINGI YA KENYA YAPOROMOKA VIBAYA DHIDI YA DOLA
- BREAKING SEREKALI YA RWANDA YAKASIRISHWA NA UBELGIJI KUTOMUIDHINISHA BALOZI WAKE
- BREAKING NEWS: RAIS KIM AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA URUSI
NEWS: JELA MIAKA 30 KWA KUBAKA MTOTO WA MIAKA 17
Mahakama ya Wilaya ya Njombe imemuhukumu Bright Dismas (25) Mkazi wa Kitisi katika Halmashauri ya Mji wa Makambako kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na hatia ya makosa mawili likiwemo la

NEWS: JELA MIAKA 30 KWA KUBAKA MTOTO WA MIAKA 17
Mahakama ya Wilaya ya Njombe imemuhukumu Bright Dismas (25) Mkazi wa Kitisi katika Halmashauri ya Mji wa Makambako kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na hatia ya makosa mawili likiwemo la
NEWS: RAIS SAMIA AKUMBUSHA ALIVYOSIKITISHWA NA SEREKALI KUCHOMA VIFARANGA MPAKAN...
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekumbushia sakata la Serekali ya Tanzania Chini ya utawala wa Hayati Rais Magufuli kuvichoma kwa petroli vifaranga vya kuku kutoka nchini Kenya v

NEWS: RAIS SAMIA AKUMBUSHA ALIVYOSIKITISHWA NA SEREKALI KUCHOMA VIFARANGA MPAKAN...
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekumbushia sakata la Serekali ya Tanzania Chini ya utawala wa Hayati Rais Magufuli kuvichoma kwa petroli vifaranga vya kuku kutoka nchini Kenya v
NEWS: WAZIRI GWAJIMA AAGIZA UFUATILIAJI MAPATO YA HOSPITALI
TABORA. Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amewaagiza viongozi wa hospitali zote nchini kuanzia ngazi ya Taifa, Mkoa, Wilaya kuunda Kamati ndogo ndogo za ufu

NEWS: WAZIRI GWAJIMA AAGIZA UFUATILIAJI MAPATO YA HOSPITALI
TABORA. Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amewaagiza viongozi wa hospitali zote nchini kuanzia ngazi ya Taifa, Mkoa, Wilaya kuunda Kamati ndogo ndogo za ufu
NEWS: CHINA KUIFILISI UGANDA BAADA YA KUSHINDWA KUREJESHA MKOPO
Kampala. Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Unganda imesema kama mkataba wao na wakopeshaji wao Benki ya Export-Import (Exim) ya China hautabadilishwa basi Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebe pamoja

NEWS: CHINA KUIFILISI UGANDA BAADA YA KUSHINDWA KUREJESHA MKOPO
Kampala. Mamlaka ya Usafiri wa Anga nchini Unganda imesema kama mkataba wao na wakopeshaji wao Benki ya Export-Import (Exim) ya China hautabadilishwa basi Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebe pamoja
NEWS: WADAU WA KILIMO WAWATAKA VIONGOZI KUTEKELEZA AZIMIO LA MALABO.
DODOMA: Wadau wa Sekta ya Kilimo duniani wamewataka Viongozi wa Serikali kufuatilia shughuli mbalimbali wanazozitoa ikiwemo mafunzo , mikopo inayotolewa kwaajili ya Wakulima ili kutekeleza azimio l

NEWS: WADAU WA KILIMO WAWATAKA VIONGOZI KUTEKELEZA AZIMIO LA MALABO.
DODOMA: Wadau wa Sekta ya Kilimo duniani wamewataka Viongozi wa Serikali kufuatilia shughuli mbalimbali wanazozitoa ikiwemo mafunzo , mikopo inayotolewa kwaajili ya Wakulima ili kutekeleza azimio l
MAJALIWA : AJIRA ZIMEONGEZEKA KWA ASILIMIA 17
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema idadi ya watu walio na ajira nchini imeongezeka kutoka watu milioni 20.5 mwaka 2014 hadi kufikia watu milioni 24.1 mwaka 2020/2021, sawa na ongezeko la asilimia 17.

MAJALIWA : AJIRA ZIMEONGEZEKA KWA ASILIMIA 17
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema idadi ya watu walio na ajira nchini imeongezeka kutoka watu milioni 20.5 mwaka 2014 hadi kufikia watu milioni 24.1 mwaka 2020/2021, sawa na ongezeko la asilimia 17.
NEWS: WAZIRI MKUU KUZINDUA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI.
DODOMA: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya Kampeni ya Siku 16 za kupinga Ukatili yatakay

NEWS: WAZIRI MKUU KUZINDUA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI.
DODOMA: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya Kampeni ya Siku 16 za kupinga Ukatili yatakay
NEWS: SEREKALI IMEAGIZA KUFANYA UCHUNGUZI KUPANDA KWA BEI YA CEMENT
Dodoma. Serikali ya Tanzania imeiagiza Tume ya Ushindani wa Biashara Nchini (FCC) kufanya uchunguzi mara moja kuhusu kupanda kwa bei ya saruji nchini.Agizo hilo limetolewa leo Jumatano na Novemba 24,

NEWS: SEREKALI IMEAGIZA KUFANYA UCHUNGUZI KUPANDA KWA BEI YA CEMENT
Dodoma. Serikali ya Tanzania imeiagiza Tume ya Ushindani wa Biashara Nchini (FCC) kufanya uchunguzi mara moja kuhusu kupanda kwa bei ya saruji nchini.Agizo hilo limetolewa leo Jumatano na Novemba 24,
NEWS: WENYE MIMBA RUKRASA KURUDI SHULE
Waziri wa Elimu wa Tanzania Prof. Joyce Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari watakaokatisha masomo yao kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto za kifamilia wat

NEWS: WENYE MIMBA RUKRASA KURUDI SHULE
Waziri wa Elimu wa Tanzania Prof. Joyce Ndalichako amesema Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari watakaokatisha masomo yao kwa sababu mbalimbali ikiwemo utoro, mimba na changamoto za kifamilia wat
NEWS: MORRISON ASHINDA KESI DHIDI YA YANGA.
Mahakama ya usuluhishi wa Kimichezo Duniani (CAS) leo imetoa hukumu ya kesi yenye tatizo la mkataba iliyokuwa ina mkabili Mchezaji wa Simba SC raia wa Ghana Bernard Morrison dhidi ya Club yake ya zama

NEWS: MORRISON ASHINDA KESI DHIDI YA YANGA.
Mahakama ya usuluhishi wa Kimichezo Duniani (CAS) leo imetoa hukumu ya kesi yenye tatizo la mkataba iliyokuwa ina mkabili Mchezaji wa Simba SC raia wa Ghana Bernard Morrison dhidi ya Club yake ya zama