- BREAKING NEWS: TANZANIA YAKANUSHA KUWASHIKILIA KINA DR SLAA NA MWAMBUKUZI
- BREAKING NEWS: RAIS WA MAPINDUZI WA NIGER AMTEUA WAZIRI MKUU MPYA
- BREAKING NEWS: SHILINGI YA KENYA YAPOROMOKA VIBAYA DHIDI YA DOLA
- BREAKING SEREKALI YA RWANDA YAKASIRISHWA NA UBELGIJI KUTOMUIDHINISHA BALOZI WAKE
- BREAKING NEWS: RAIS KIM AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA URUSI
SPIKA NDUGAI: MAWAZIRI MSILEWE MADARAKA YA UWAZIRI
Dodoma. Spika wa Bunge wa Tanzania Job Ndugai amewataka Mawaziri na manaibu walioapishwa hii leo Desemba 9, 2020 kutokulewa sifa ya madaraka na badala yake wajitahidi kufanya kazi ili kuacha alama nch
NEWS: SEREKALI YATANGAZA KUSHUKA KWA MFUMUKO WA BEI
Serekali ya Tanzania imesema kuwa Mfumuko wa bei nchini kwa mwaka ulioishia mwezi Novemba, 2020 umepungua hadi asilimia 3.0 kutoka asilimia 3.1 kwa mwaka ulioishia Oktoba, 2020.Kauli hiyo imetolewa hi
SEIF: TULIPISHANA UWAMUZI KUINGIA SEREKALI YA UMOJA WA KITAIFA
Dar es Salaam. Makamu mpya wa kwanza wa rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema uwamuzi wa chama chake cha ACT-Wazalendo kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani humo hak
WAKALA WA PAUL POGBA: SASA INATOSHA POGBA KUICHEZEA MAN UNITED
Wakala wa Kiungo staa wa club ya Manchester United Paul Pogba Bw. Mino Raiola ameiambia Tuttosport kuwa kwasasa imefika mwisho kwa mteja wake kuendelea kuitumikia club hiyo ya Manchester."Ninachoweza
NEWS: WAZIRI MKUU ATAKA WIZARA KUWEKA UKOMO BEI YA CEMENT
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara, ikamilishe utaratibu mara moja wa kuwa na bei yenye kikomo ya saruji itakayowezesha kila mkoa kujua bei ya bidhaa hiy
NEWS:. HOSPITALI ZENYE WATAALAM BINGWA ZATAKIWA KUTOA HUDUMA ZA MKOBA KWA WANANC...
MWANZA: Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ametoa wito kwa Hospitali zenye wataalam wanaotoa huduma za kibingwa kuwa na huduma za mkoa “Outreach Services” endelevu ili wananchi walio mbali
NEWS: MWANAMKE AKUTWA NA KIFARANGA CHA KUKU TUMBONI
Kigoma. Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Uvinza mkoani Kigoma, amekutwa na kuku kwenye kizazi mara baada ya kufanyiwa upasuaji wa dharura.Mama huyo alifika katika kituo cha afya cha Uvi
NEWS: ACT YAJIUNGA SEREKALI YA UMOJA WA KITAIFA ZANZIBAR
Dar es Salaam. Chama Kikuu chenye ushawishi mkubwa visiwani Zanzibar cha ACT Wazalendo kimeridhia takwa la kikatiba la kujiunga kwenye Serekali ya Umoja wa kitaifa viziwani humo Mara baada ya kuapata
NEWS: HILI NDILO BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
Leo Desemba 5, 2020 Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza baraza jipya la mawaziri lililosheheni Wasomi mbali mbali, huku Vigogo wengi waliokuwepo hapo awali kwenye baraza la mawaziri lililo
NEWS: MTATURU ATIMIZA AHADI YAKE KWA VITENDO.
SINGIDA: Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameendelea na ziara yake jimboni humo ambapo ametembelea miradi minne ya ujenzi wa miundombinu ya elimu yenye thamani ya Sh Milioni 196 inayotekelezwa na serikali katika shule ya sekondari ya Unyahati.Miradi hiyo ni ujenzi wa bweni moja,madarasa matatu,maabara tatu na matundu sita ya vyoo.