- BREAKING NEWS: TANZANIA YAKANUSHA KUWASHIKILIA KINA DR SLAA NA MWAMBUKUZI
- BREAKING NEWS: RAIS WA MAPINDUZI WA NIGER AMTEUA WAZIRI MKUU MPYA
- BREAKING NEWS: SHILINGI YA KENYA YAPOROMOKA VIBAYA DHIDI YA DOLA
- BREAKING SEREKALI YA RWANDA YAKASIRISHWA NA UBELGIJI KUTOMUIDHINISHA BALOZI WAKE
- BREAKING NEWS: RAIS KIM AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA URUSI
NEWS: RAIS AMTEUA WAMBURA KUWA KAMANDA MKUU WA POLISI
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Camillus Wambura kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania (IGP). Wambura amepata nafasi hiyo mara baada ya Rais Samia kumpand
NEWS: RAIS WA UKRAINE AMFUTA KAZI MKUU WA USALAMA WA TAIFA NA MWENDESHA MASHTAKA
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amemuondoa kazini mkuu wa shirika la usalama la Ukraine (SBU) na mwendesha mashtaka mkuu wa nchi hiyo, akitaja visa vingi vya uhaini katika mashirika hayo mawili ye
NEWS: KESI YA SABAYA BADO KIZUNGUMKUTI, UPELEZI WAMLIZA
Moshi. Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi Mkoani Kilimanjaro imelazimika kuhairisha tena kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne mara baada
MAREKANI NA ISRAEL ZA SAINI HATI YA KUIZUIA IRAN KUUNDA NYUKLIA
Rais wa Marekani Joe Biden na Waziri Mkuu wa Israel Yair Lapid wamesaini ahadi ya pamoja ya kuizuia Iran kuunda silaha za nyuklia.Viongozi hao wawili wametia saini maazimio hayo baada ya kufanya kikao
NEWS: KISHINDO CHA MTATURU JIMBONI.
SINGIDA: Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,Julai 12,2022,ameanza ziara ya kijiji kwa kijiji ambapo siku ya kwanza ametembelea kata ya Mang'onyi kutoa mrejesho wa Bajeti ya Mwaka wa fedha 2022
SPIKA MSEKWA: MABADILIKO YA KATIBA MPYA NI JAMBO LISILOEPUKIKA
Ukerewe. Spika wa bunge mstaafu Pius Msekwa amesema kwamba Mabadiliko ya Katiba mpya ni jambo lisilobishaniwa na Haliepukiki kwa sababu mahitaji ya jamii yamebadilika na muda uliopo unasukuma hilo. â€
SIMBA YAMTAMBULISHA MGANA AUGUSTINE OKRAH
Klabu ya Simba leo imemtangaza rasmi, mchezaji Augustine Okrah anayechea eneo la kiungo kutoka nchini Ghana, kuwa mchezaji mpya wa klabu hiyo baada ya kusaini mkataba wa kuitumikia club hiyo kwa miaka
NEWS: RAIS WA SYRI LANKA ANAJINDAA KUKIMBILIA UHAMISHONI
Taarifa kutoka nchini Sri Lanka zinasema kuwa rais wa taifa hilo anayekabiliwa na mzozo amesafirishwa hadi kituo cha jeshi la wanaanga na kuibua uvumi kwamba huenda akakimbilia uhamishoni.Rais Gotabay
NEWS: MKURUGENZI WA JIJI LA DAR ASIMAMISHWA KAZI
Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amelazimika kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri na watumishi wengine tisa wa jiji hilo wakidaiw
NEWS: MAHAKAMA YAWARUHUSU KINA MDEE KUUPINGA UWAMUZI WA CHADEMA
Dar es Salaam. Mahakama Kuu kanda ya Dar es salaam imewaruhusu waliokuwa wanachama wa Chadema, Halma Mdee na wenzake 18 kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama hicho kuwavua uanachama.Mahakama imet