May 18, 2024, 10:45 am
- BREAKING NEWS: TANZANIA YAKANUSHA KUWASHIKILIA KINA DR SLAA NA MWAMBUKUZI
- BREAKING NEWS: RAIS WA MAPINDUZI WA NIGER AMTEUA WAZIRI MKUU MPYA
- BREAKING NEWS: SHILINGI YA KENYA YAPOROMOKA VIBAYA DHIDI YA DOLA
- BREAKING SEREKALI YA RWANDA YAKASIRISHWA NA UBELGIJI KUTOMUIDHINISHA BALOZI WAKE
- BREAKING NEWS: RAIS KIM AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA URUSI
Bunge la seneta nchini marekani la weka record mpya baada ya kupinga uwamuzi wa OBAMA
Wabuge wa bunge la seneta nchini Marekani laweka record mpya kufuatia kupinga uwamuzi wa Rais Barack Obama
Bunge hilo limepinga uwamuzi huo baada ya Rais Obama kutaka nchi ya Saud Arabia kushtakiwa kwa tuhuma za kuhusika katika shambulio la septemba 11
kwa upande wake Rais Obama amechukizwa na hatua hiyo ya bunge kupinga kura ya veto, Obama amesema kuwa hatua hiyo ni hatari sana kwa mstakabali wa nchi hiyo,
kura hiyo baadhi ya wachambuzi wanasema ni hila inayo taka kumuweka OBAMA katika hali tete ya utawala wake.